HEADLINES

6/recent/ticker-posts

RAIS RUTO AWATEUA VIONGOZI WA UPINZANI KUJIUNGA NA BARAZA LAKE LA MAWAZIRI KENYA


Na Mwandishi Wetu,
Nairobi KENYA.

Rais Ruto awateua viongozi wa upinzani kujiunga na baraza lake la mawaziri Kenya

Rais William Ruto amewateua baadhi ya viongozi wa upinzani katika baraza lake la mawaziri .Ruto pia amerejesha mawaziri wa zamani wanne waliokuwa katika baraza lake la hapo awali ,akiwemo aliyekuwa mkuu wa sheria Justin Muturi ambaye sasa ni waziri .Walioteuliwa ni ;

John Mbadi- Wizara ya Fedha

Salim Mvurya - Uwekezaji

Rebecca Miano -Utalii

Opiyo Wandayi -Kawi

Kipchumba Murkomen- Vijana na Spoti

Hassan Joho -Madini

Alfred Mutua – Leba

Wycliffe Oparanya – Vyama vya Ushirika

Justin Muturi – Utumishi wa Umma

Stella Langat – Jinsia
Rebecca Miano Waziri Mteule wa Utalii

Hassan Joho-Waziri Mteule wa Madini





Post a Comment

0 Comments